Psalms 113:7-9


7 aHuwainua maskini kutoka mavumbini,
na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,

8 bhuwaketisha pamoja na wakuu,
pamoja na wakuu wa watu wake.

9 cHumjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake,
akiwa mama watoto mwenye furaha.

Msifuni Bwana.
Copyright information for SwhKC